7 Mei 2013 - 19:30
Picha ya mweili wa Hujri Ibn Adiy

Ripoti ya shirika la bagari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Tovuti ya Alghauta Alsharqia ambayo ni ya waasi wa Syria ilisambaza picha ambayo yadaiwa kuwa ni Sahaba wa Mtume(saw) Hujri Ibn Adiy akionyesha kuwa mwili wake kuwa msiza bila kuoza, na picha hiyo ni pale tu walipofukuwa kaburi la Sahaba mtukufu wa mtume(saw) siku ya Alkhamis alopita.

Baada ya kusambaza picha hii hakuna hata chombo cha habari ilipinga na kukanusha picha na kueleza kuwa picha hiyo si ya Hujri Ibn Adiy, hata mawahabi ambao waharamisha kupiga picha hakujatoka kauli rasmi, na huenda picha hii haitoungwa mkono na yoyote yule.

Picha hii imetofautiana na historia ya Kiislamu kwani Hujri Ibn Adiy alikatwa kichwa chake yeye na wafuasi wake enzi za Muawiya Ibn Abi Sufian.

Sihika la habari la Ahlul Bayt(as) bila kuunga mkono yatekeleza wadhifa wake  tu katika kusambaza habari kama hizi.